Loading...

Malecela Aendelea Kuijadili Serikali ya Magufuli...

Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela amesema Serikali ya Rais John Magufuli imeanza vizuri mikakati yake na imejengwa katika misingi ya kila kiongozi kuwa na wajibu wa kumhudumia Mtanzania.

 Pamoja na hilo, amesema si sahihi kumfananisha na  mtu mwingine kama aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine wala Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius Nyerere.

 Akizungumza katika mahojiano maalumu yaliyofanyika nyumbani kwake mjini Dodoma, Malecela alisema, “Rais Magufuli katika mambo anayofanya, tusimlinganishe na mtu mwingine, hatutamtendea haki.”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KAZI YANGU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top