Loading...

'Bavicha threaten to block CCM handing over ceremony'

 
RETIRED President Jakaya Kikwete and the outgoing Chairman of CCM is expected to hand over the party’s chairmanship to President John Magufuli next month as the Party’s Central Committee (CC) announced last week.
Party spokesperson Christopher Ole Sendeka told reporters in Dar es Salaam that the handing over will be done at a one-day special general meeting scheduled for July 23 in Dodoma.
He said the handing-over date was agreed upon at a meeting of the Central Committee (CC) held at the party’s Mainland sub-head office in Dar es Salaam yesterday, under the chairmanship of Mr Kikwete.
But addressing a press conference here yesterday, BAVICHA chairperson Julias Mwita argued that they will block the meeting in the same spirit the police disrupted their meeting last week, saying the law enforcers are used to suppress democracy in the country.
He said the police is used to oppress the opposition party, denying them opportunity to conduct political meetings including last week incidence here where the police disrupted a graduation party organized by youths affiliated to the party.

magufuli-tells-opposition-leaders-dont-stand-my-way'

 
Magufuli's remarks yesterday, at a State House function where he received the National Electoral Commission (NEC)’s official report on last year’s general election, came against the backdrop of growing criticism that his government is intent on cracking down on dissenting voices and freedom of speech.
But he asserted that it was time for petty politicking to be put on hold to allow his administration to go about keeping all the promises made to voters during the campaign period leading up to last year’s polls.
“I was voted to be the president of all Tanzanians and I promised to serve them, therefore I will not sit back and watch someone try to deliberately derail my efforts to do this over the five years of my mandate,” he said.
He added: "I would like to urge my fellow politicians to conduct their political business through the people's duly-elected representatives, using appropriate platforms such as parliament."
Leaders of the main opposition parties in the country recently disclosed plans to stage nationwide public rallies and demonstrations to call for broader democracy in the country.
The police then swiftly moved in to ban the planned rallies, saying they were aimed at causing civil disorder.

Hata Kuziba Midomo ni Demokrasia-Rais Magufuli

Akizungumza leo Ikulu Jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli amewataka wanasiasa waliopewa nafasi za uwakilishi na wananchi wajikite zaidi katika kuwahudumia ili kuwaletea maendeleo waliyowaahidi wakati wa kampeni.

Rais Magufuli amesema kuwa wakati wa uchaguzi umekwisha hivyo wakati wa siasa sasa nao umekwisha hivyo amewataka viongozi wao wa siasa kushirikiana nae katika kuleta maendeleo ikiwemo kumpa ushauri ambao nae ataufanyia kazi kwa maendeleo ya Wananchi wote.

Dkt. Magufuli amesema kuwa kamwe hatomvumilia mtu yoyote ambae atamchelewesha katika harakati zake za kuwaletea maendeleo wananchi, hivyo ni vyema wakaungana kwa pamoja katika kufanikisha suala hilo.

Rais Magufuli amesema wabunge waliochaguliwa waelekeze nguvu katika kuwasemea wananchi kwa kufuata demokrasia ingawa hata kuziba midomo ni demokrasia ya aina yake lakini amevitaka vyama vyote kushirikiana nae katika kulileta taifa maendeleo.

Magufuli apuuza donda la Wazanzibari

 John Magufuli, Rais wa Tanzania, akiteta jambo na Dk. Ali Mohamed Shein, Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM
RAIS John Magufuli amepuuza maalamiko ya Wazanzibar kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) licha ya kukataliwa, kimelazimisha kurudi madarakani, anaandika Mwandishi Wetu.
Amempongeza Jecha Salim Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), kwa kile alichosema “ametimiza wajibu wake wa kusimamia uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa mwaka jana vizuri.”
Kwa kauli hiyo ambayo Dk. Magufuli ameitoa leo kwenye hafla ya kukabidhiwa ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania uliofanyika mwaka jana, hajabadilisha msimamo kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar uliotokana na uchaguzi huo.
Rais Magufuli amesema, uamuzi alioufanya wa kupeleka Zanzibar askari wengi wa vikosi vya ulinzi na usalama kulinda ili uchaguzi wa marudio wa 20 Machi 2016 uwe wa amani na salama ulikuwa sahihi na kwamba, naye alitimiza jukumu lake kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Amesema, hakuna uchaguzi unaokosa kasoro hata ndogo lakini anashangaa kwamba, wapo watu wanahangaika mpaka nje ya nchi kuieleza vibaya serikali kwa kuwa, nilisema siwezi kuingilia tume ambayo ni huru.
“Ni kweli sina mamlaka ya kuingia Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ambayo ikifanya uamuzi haiwezi kuhojiwa lakini nilipochukua hatua za kuimarisha ulinzi, nilitimiza wajibu wangu,” amesema.
Hata hivyo amesema kwa kurudia kuwa, uchaguzi umwekwisha nchini na sasa ni wakati wa kuwatumikia wananchi katika maendeleo.
“Walewale waliokuja kunitaka niingilie maamuzi ya tume nikakataa wamekuwa wanaisema serikali ninayoongoza,” amesema bila kutajia jina la mtu huyo lakini alikuwa akimlenga Maalim Seif Sharif Hamada, Katibu Mkuu wa CUF.
Maalim Seif yupo ziarani nchini Marekani, Canada ambapo amekuwa akieleza hali halisi ya uchaguzi wa Zanzibar namna ulivyovurugwa na Serikali ya CCM kwa lengo la kuendelea kubaki madarakani.
CUF chini ya Maalim Seif anayejinasibu kuwa ndiye rais wa Zanzibar aliyechaguliwa kihalali na wananchi, kinapinga uamuzi wa Jecha kufuta uchaguzi uliofanyika Zanzibar tarehe 25 Oktoba 2015 kwa kuwa, hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufanya hivyo.
Jecha alifuta uchaguzi huo tarehe 28 Oktoba 2015 kwa madai uliharibika na kisha kusimamia ualioitwa uchaguzi wa marudio wa tarehe 20 Machi 2016.
Baada ya uchaguzi huo Jecha alimtangaza Dk. Shein, mgombea wa CCM kuwa mshindi wa urais.

BREAKING NEWS: ZITTO ZUBERI KABWE FOR ANOTHER TIME ATTACK PRESIDENT MAGUFULI FOR THIS NECCESARY ISSUE WHICH ARE COUNTIUE IN TANZANIA

 John Magufuli, Rais wa Tanzania (kulia) akisalimiana na Zitto Kabwe, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo
ZITTO Kabwe, kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ametoa tamko lake juu ya kauli ya Rais John Magufuli ya kupiga marufuku vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa zaidi ya bungeni na kwenye kampeni za mwaka 2020 ni sawa na kuua demokrasia.
Kwa habari zaidi soma tamko la Zitto Kabwe juu ya kauli hiyo hapa chini. 
Kauli ya Rais John Magufuli kuzuia yyama kufanya Siasa mpaka mwaka 2020.
Tumepokea kwa MSHTUKO na masikitiko makubwa kauli ya Rais kwamba vyama vya siasa havipaswi kufanya siasa isipokuwa wakati wa kampeni na kupitia bungeni.
Tunaichukulia kauli ya Rais kama tangazo la vita dhidi ya demokrasia na uhai wa vyama vingi nchini. Chama chetu kitaitisha vikao vya dharura kujadili hali ya nchi na namna ya kukabiliana na mashambulizi yanayoendelea dhidi ya demokrasia nchini mwetu.
Tunatoa wito kwa vyama vyote vya siasa nchini kuunganisha nguvu katika kuhakikisha tunapigana vita hii pamoja. Huu ni wakati wa vyama vya siasa na wanasiasa kuacha tofauti zao na kupambana kulinda uhuru wa kufanya siasa wakati wowote kwa mujibu wa Sheria.
Tunatoa wito kwa wananchi wote na taasisi za kiraia kusimama imara katika kulinda demokrasia. Tunasisitiza kuwa ushahidi wa kisayansi unaonyesha kuwa huwezi kuua demokrasia bila kuua juhudi za maendeleo. Tusiruhusu mtu yeyote mwenye mamlaka kuua demokrasia nchini mwetu.
Hatua zozote za kuua demokrasia ni kuua Umoja, Amani na mshikamano wa wananchi na Taifa, ambayo ndiyo msingi wa maendeleo ya nchi yetu kijamii, kisiasa na kiuchumi. Tunatoa wito kwa wananchi wote kushikamana na kusimama imara katika kulinda demokrasia.

BREAKING NEWS: THE HOT NEWS NAPE NAUYE ATHREATINING DEATH OF SOME PEOPLE IN CCM AFTER DOING THIS THINGS.....


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wakati wa mchakato wa chama kurejesha imani kwa wananchi hali ilikuwa ngumu kwake hadi kufikia kutishiwa maisha na watu wasiojulikana.

Mbali ya watu hao kumpigia simu za vitisho nyakati za usiku, pia walikuwa wakimchafua kupitia mitandao ya kijamii lakini anamshukuru Mwenyezi Mungu alivuka salama na chama kimevuka salama.

“Tulipoanza kuzunguka kujenga chama nilitukanwa sana. Watu waliwekeza kunichafua. Watu hao niliokuwa nawanyooshea kidole hawakufurahishwa na hatua ile hivyo wakaweka mkakati wa kutaka kunifukuzisha ndani ya chama na ilifika hatua wakawa wananichafua katika mitandao ya kijamii.

"Nikaamua kujitoa huko mpaka leo hii nimeamua kujitoa katika mitandao na kubaki katika twitter pekee kwa kuwa unaweza kutambua mtumiaji,” alisema Nape.

Akizungumza  nyumbani kwake mkoani Dodoma, Nape ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ambaye aliteuliwa kwa mara ya kwanza kushika nafasi hiyo mwaka 2011 Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alipounda sekretarieti mpya chini ya Katibu Mkuu, William Mukama alisema watu hao walifikia kudai yeye si mtoto wa Mzee Moses Nnauye.

Kamati Kuu chini ya Mukama ilipita mikoani na kaulimbiu ya kuvua gamba iliyoasisiwa na chama kwa lengo la kuwaondoa watuhumiwa ufisadi lakini iliondolewa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2012 ikaundwa mpya chini ya Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana.

Kukata vigogo
Katibu huyo wa uenezi alisema changamoto kubwa waliyokutana nayo katika mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM ilikuwa kukata majina ya waliokuwa viongozi wa Serikali ambao walijitokeza kugombea nafasi hiyo.

Nape alisema kumpata mgombea wa kupeperusha bendera ya chama hicho kongwe ilikuwa kazi nzito baada ya viongozi mbalimbali wa juu wa Serikali ya Awamu ya Nne kujitokeza wakiwamo, aliyekuwa Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal, Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda na aliyekuwa Jaji Mkuu Augustino Ramadhani.

Vigogo wengine waliowapa wakati mgumu CCM ni aliyekuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu na Nne, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, na mawaziri kadhaa lakini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu waliweza kutimiza wajibu wao.

“Kuwaondoa viongozi waliokuwa madarakani ni sawa na kutafuna jongoo kwa meno lakini hatukutetereka na hatimaye tukapata majina matano ambayo nayo yalipigiwa kura na kupatikana jina la mgombea mmoja,” alisema.

“Ingawa vikao vilikuwa vya moto sana na kulazimika kukesha mpaka usiku, kila mmoja alipata nafasi ya kujadiliwa na kutendewa haki siyo kama ilivyovumishwa kuwa wagombea wengine hawakujadiliwa,” alisema.

Nape alisema katika chama chao kila mwanachama ana nafasi sawa hivyo haikuwasumbua kuangalia majina ya watu hao wala nyadhifa zao badala yake waliangalia sifa za mgombea mwenyewe ndani ya chama.

Alisema anashukuru Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Jakaya Kikwete kwa kuwa na kifua cha kuhimili vishindo na hiyo ndiyo siri ya kufanikisha mchakato huo kwa kuwa ni mtoto wa CCM hivyo ilikuwa rahisi kumkata yeyote kwani uzoefu wake ndani ya chama ulisaidia.

Nape alisema itachukua muda mrefu kupata kiongozi kama yeye lakini pia hawawezi kupuuza kazi iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana na wazee waliorekebisha mambo na kuvuka salama kwa kuwa hali ilikuwa mbaya.

Bunge laivu
Nape alisema suala la kuzuia kurushwa moja kwa moja kwa matangazo ya Bunge si lake na kwamba lilipitishwa na wabunge wenyewe.

“Mimi ni msimamizi wa Serikali. Watu wanapotosha, nilichofanya ni kulinusuru Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), kwa miaka 10 mfululizo Bunge lilishindwa kuwalipa fedha zao ambazo ni Sh4.5 bilioni kila mwaka.

“Hili liwe fundisho kwa wabunge, kuna vitu wabunge wanapitisha hawavijui baada ya muda wanaona madhara yake wanaanza kulalamika kumbe walivipitisha wenyewe...Suala la Bunge kuanzisha kituo cha televisheni pia walilipitisha wenyewe, leo hii Katibu wa Bunge anavyotumia fedha kama ingekuwa haipo katika bajeti wasingemwacha,” alisema.

ZariTheBossLady Amtaja Ivan kwenye Post Moja na Diamond Platnumz

Kwenye siku ya BABA duniani wasanii tofauti wameonyesha ukaribu wao kwa watoto na familia zao kupitia instagram na mitandao tofauti ya kijamii.

Couple inayopewa attention kubwa kwa sasa bongo ya Zari na Diamond imechukua nafasi kubwa leo kwenye mitandao baada ya Zari kumtaja Ex wake ambaye ni Ivan [Baba wa watoto watatu wa Zari] kwenye post moja na Diamond Platnumz kitu ambacho hakijawahi kutokea.

Zari aliandika hivi 
"God has his timing for everything and he knows better why he does things at his own time. I know u felt this day would never come in your life but with God, NOTHING IS IMPOSSIBLE. Happy father’s day to you @diamondplatnumz and to the rest of the dads playing great roles in thier kids lives @ivandon. Happy father’s day to all women out there playing both roles"

POLISI WAMDUWAZA SUMAYE KWA HILI

 Frederick Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu
FREDERICK SUMAYE, Waziri Mkuu Mstaafu pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema ameshangazwa na unyongaji demokrasia unaofanywa kwa kiwango kikubwa nchini, anaandika Dany Tibason.
Ametoa kauli hiyo jana mjini Dodoma muda mfupi baada ya Jeshi la Polisi kutumia nguvu kutawanya wanafunzi na wanachama wa Chadema Vyuo Vikuu Mkoa wa Dodoma (CHASO) wakati wakifaya mahafali yao ya saba kwa ajili ya kuagana.
Amesema, kitendo cha serikali kulifanya taifa lisiwe na nafasi ya kukosolewa ni dalili mbaya ya udikiteta na kamwe haiwezi kufumbiwa macho.
Amesema, hakuna serikali yoyote duniani ambayo inaweza kukataa kusemwa kwani kiongozi bora na shupavu ni ule ambaye anasemwa na kusikiliza watu wanasema nini.
Sumaye ambaye alikuwa awe mgeni rasmi katika mahafari hayo ambapo amesikitishwa na kitendo cha polisi kuzuia mahafali ya wanafunzi hao kwa kuwa ni haki yao kuagana na kubadilishana uongozi.
Amesema, imekuwa ni aibu kwa serikali kuendesha nchi kwa matakwa ya mtu mmoja jambo ambalo amesema ni kujenga chuki kwa wananchi hata pale ambapo hapakuwepo na sababu.
Salum Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Tanzania Zanzibar amesema, bado uongozi wa Chaso unafanya tathimini ya kuona ni jinsi gani ya kufanya taratibu juu ya Jeshi la Polisi kuwasababishia hasara wanafunzi hao.
Amesema, pamoja na jeshi hilo kuingilia mahafali hayo, bado wanafanya maandalizi ya kuhakikisha mahafari hayo yanafanyika ili vijana hao waweze kupata haki yao.
Mwalimu amesema, kwa sasa serikali inaogopa upinzani na kamwe nguvu ya upinzani haitaweza kupunguzwa hata kwa siku moja na badala yake inazidi kuimarika.
Lazaro Mambo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma amesema, sababu za kuzuia mahakafali hayo ni kutokana na kuwepo kwa taarifa za uvunjifu wa amani.
Hata hivyo amesema, licha ya kuwepo kwa taarifa hizo tayari Jordan Lugimbana, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma alikuwa ametoa zuio la kuwepo kwa mikutano ya kisiasa katika mkoa huo.

NEWSPAPERS FOR TODAY

IMG_20160619_050521IMG_20160619_050051IMG_20160619_050011

Ukawa: CCM wanatuumiza

Charles Kuyeko, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala (Ukawa) (Wakwanza), Edward Lowassa, aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Ukawa na Boniface Jacob, Meya wa Halmashauri ya Kinondoni (Ukawa)VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vinalalamika kuhujumiwa na na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), anaandika Regina Mkonde.
Viongozi wa vyama hivyo wanaeleza kuwa, hujuma za kisiasa zinazoendelea kufanywa na baadhi ya viongozi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, zimeacha athari kubwa.
Na kwamba, hujuma hizo zimesababisha Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni kukosa msaada wa ujenzi wa Chuo cha Ufundi.
Kauli hiyo imetolewa jana na Boniface Jacob (Chadema), Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Jacob amesema kuwa, hujuma hizo zinahusisha kuwazuia viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwenda safari za nje ya nchi ambazo zinalenga kukutana na wafadhili kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye wilaya zao.
“Hali ya kimahusiano kati ya mameya wanaotokana na Ukawa na Serikali Kuu si mazuri hata kidogo, viongozi tumeamua tuhabarishe umma wa Watanzania kuwa, kuna hujuma za waziwazi zinazofanywa na wenzetu juu ya shughuli za mameya wa Kinondoni, Ilala na Jiji la Dar es Salaam,” amesema.
Jacob amesema kuwa, hivi karibuni Ubalozi wa Uturuki ulidhamini safari ya mameya kwenda Uturuki kukutana na wadau na wafadhili wa miradi mbalimbali ikiwemo wa ujenzi wa Chuo Cha Ufundi ndani ya Manispaa ya Kinondoni.
“Ubalozi huo ulikuwa umeshatoa kibali cha kusafiri (Visa) na kugharamia fedha za usafiri, malazi, chakula na gharama zingine zote, ambapo matayarisho tu yali gharimu kiasi cha Dola za Marekani 42,000 (Sh 88 milioni) kwa mameya wote wanne, mtendaji mmoja mmoja kila halmashauri,” amesema.
Anasema, fedha hizo zililenga pia kugharamikia  mikutano iliyotakiwa kuanza tarehe 16 Juni mpaka 19 Juni 2016 na kwamba, wafadhili na wadau wa maendeleo waliandaa mialiko ya wawekezaji na wafadhili kutoka sehemu mbali mbali za Uturuki.
“Wafadhili hao walitarajiwa kuja Makao Makuu ya nchi hiyo, Jiji la Instanbul ili kukutana nasisi kujadili miradi ya maendeleo lakini serikali imevunja safari hiyo,” amesema.
Amesema, kitendo hicho cha serikali kuwazuia kimesababisha manispaa za Jiji la Dar es Salaam kukosa fursa za maendeleo ikiwemo chuo hicho cha ufundi.
“Si mara ya kwanza kwa sisi mameya kuhisi kuhujumiwa na baadhi ya viongozi serikalini ambao kimsingi, sisi tuliamini uchaguzi umeshapita na kwamba kila mmoja wetu atampa mwenzake heshima inayostahili juu ya ajenda za maendeleo,” amesema na kuongeza;
“Ndiyo maana kama nilivyo sema hapo awali, tumekuwa kimya juu ya vikwazo vidogo vidogo ambavyo tulihisi ni hujuma.
“Lakini tukaamua kuwa kimya na wavumilivu lakini tunatambua kuwa ipo mikakati ovu mingi dhidi yetu, ya kutukwamisha tusifanikiwe kuleta Maendeleo ndani ya mkoa wetu na wilaya zetu,” amesema.

Ndoto ya Gwajima CCM kutimia

Dk. Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa CCM (Wakwanza), na John Magufuli, Rais wa TanzaniaNDOTO ya Josephat Gwajima, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima inaelekea kutimizwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), anaandika Hamis Mguta.
CCM kimeeleza kuwa, Dk. Jakaya Kikwete, mwenyekiti wa sasa wa chama hicho anatarajiwa kukabidhi uenyekiti wa chama hicho kwa Dk. John Magufuli tarehe 23 Julai mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa leo na Christopher Ole Sendeka, msemaji wa CCM inaeleza kuwa, mkutano maalum utafanyika katika ofisi ndogo za chama hicho Mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam.
“Kamati Kuu imeridhishwa na maandalizi ya mkutano mkuu huo, Mkutano Mkuu maalum utatanguliwa na kikao cha sekretarieti, Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa,” imeeleza taarifa hiyo.
Mei mwaka huu baada ya vyombo vya habari kuripoti kuwepo kwa mgogoro ndani ya CCM kwamba, Dk. Kikwete kugoma kumkabidhi uenyekiti wa chama Dk. Magufuli, wiki iliyopita Mchungaji Gwajima aliibuka na kuishutumu CCM na mawakala wanaogomea Dk. Magufuli kukabidhiwa chama.
Mchungaji Gwajima aliishushia tuhuma CCM kwamba, lipo kundi la wanaCCM wanaozunguka sehemu mbalimbali nchini wakishawishi wanachama na wakimshawishi Dk. Kikwete ili aendelee na uenyekiti na kuleta hoja ya kutenganisha kofia ya Uenyekiti wa CCM na Urais wa nchi.
Kutokana na tuhuma hizo Ole Sendeka alisema, “napenda kuwafahamisha wana CCM, wapenzi wa CCM na wananchi kwa jumla kuwa, madai hayo ya Mchungaji Gwajima ni uongo mtupu na hayana hata chembe ya ukweli. Ni mambo ya uzushi na hadithi ya kufikirika.
“Watu hao hawapo kwani kama wangekuwepo habari hizo zingekwishajulikana chamani kupitia mfumo mahiri wa usalama na maadili wa ndani ya CCM.”
Muda mchache baada ya CCM kutoa taarifa hiyo, nyumba ya Mchungaji Gwajima iliyopo Mbezi Salasala ilizungumwa na polisi wakimsaka ambapo mkapa sasa inaripotiwa yupo nje ya nchi.
Tarehe 3 Mei mwaka huu Kamati Kuu ya Halmashauri ya Taifa ya CCM ilikutana katika Ikulu ya Chamwino na kupitisha majina ya wagombea kwenye nafasi mbalimbali.
Kwenye mkutano huo Ole Sendeka alisema,“kimsingi kama ingekuwa ni kufuata Katiba ya CCM, Kikwete alitakiwa kukabidhi nafasi hiyo mwaka 2017 kwa malengo ya kutimiza kipindi cha miaka mitano lakini kutokana na utamaduni wetu, wameishakubaliana kukabidhiana majukumu hayo na sasa mandalizi yanafanyika.”

Breaking News: Jeshi la Polisi Lawatawanya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Ambao ni Wafuasi wa Chadema Kwa Kufanya Mahafali Bila Kibali

Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma  limewasambaratisha wanafunzi  wa vyuo vikuu  wanachama wa Chadema ( Chadema Students Organization -CHASO ) waliokuwa wakishiriki hafla ya mahafali katika  Ukumbi wa African Dreams  ulipo Area D mjini Dodoma.

Katika hafla hiyo mgeni rasmi alitarajiwa kuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ambapo baadhi ya wanafunzi wamekamatwa baada ya kuwambiwa watawanyike na kurudi majumbani kwao.

Polisi wamesema mikusanyiko  yote ya kisiasa ilishapigwa marufuku, hivyo hata mahafali hiyo ilikuwa batili

Barua ya wazi kwa Freeman Mbowe na UKAWA wote

Na Thadei Ole Mushi.

Kama ni mfuatiliaji wa siasa za Tanzania mbinu ya wapinzania kutoka njee ya bunge kwa sababu mbali mbali haikuanza leo. Na tangu wameaanza kuitumia mbinu hii haijawahi kuwasaidia au hata kueleweka kwa wananchi badala yake sisi wananchi ndio huwa tunapata hasara.

Kwa mara ya Kwanza wapinzani walitoka njee ya Bunge wakati raisi Kikwete alipoingia madarakani kwa mara ya pili kwa kile walichokidai kuwa ni kutomtambua. Walitoka njee wakati wa kuhutubia bunge na kulifungua bunge.

Je waliposusia bunge mwisho wa siku hawakuja kumtambua raisi Kikwete?? jibu ni NDIO wakikuja kumtambua na walivunja rekodi kupiga hodi ikulu kuomba busara za raisi kuliko vipindi vingine vyote.Tuliwashuhudia wakiburudika na juice mara nyingi tu Ikulu wakipata picha ya pamoja nk.

Mara ya pili tunawaona upinzani ukitoka njee kususia bunge la katiba. Mwisho wa siku bunge liliendelea na katiba pendekezwa ikapitishwa bila kuwa na mawazo mbadala ya wapinzani ndani ya katiba ile inayosubiria kupigiwa kura.

Mara ya tatu upinzani unatoka njee kupinga matokeo ya uraisi yaliyompa raisi Magufuli ushindi. Wanatoka siku ya raisi kulifungua bunge kama walivyotoka kipindi cha Kikwete. Raisi analifungua bunge na baada ya hapo bunge lilelile lililopewa uhalali na rais Magufuli baada ya kulifungua wapinzani wanarudi na kulitumia. Na hata sasa wapinzani wameshamtambua raisi Magufuli kuwa ni raisi halali na aliyechaguliwa kihalali.

Mara ya nne ni hili la kumkimbia Dr Tulia. Katika hali ya kawaida nilifikiri wangelifanya hivi kwa siku moja tu. Mpango wa kususia kila siku kumetuathiri sana sisi wananchi kuliko kulivyomuathiri Dr Tulia. Tena wapinzani wanatoka njee kipindi muhimu kabisa ambacho walipaswa kuombea majimbo yao miradi ya kimaendeleo toka kwenye bajeti ambayo itapitishwa muda mfupi ujao.

Upinzani umetoka kwenye mstari wa kujenga hoja hadi kususia kususia mambo ya ajabu ajabu.Nakiri kabisa kuwa kilichoijenga kambi ya upinzani nchini ni hoja zao nzito miaka ya 2005-2015.

Sote tunakumbuka jinsi upinzani ulivyopata umaarufu kwa kujenga hoja za kukataa ufisadi, kudai katiba mpya, swala la Buzwagi, na hata juzi juzi swala la ESCROW. Kafulila pamoja na kutukanwa tumbili alisisimama kidete hadi akafanikiwa kuwangoa kina Warema bungeni na wengineo. Nataka nikuonyeshe nguvu ya hoja ilivyo na mantiki kuliko hii zomea zomea na kutoka nje ya bunge.

Katika nchi zote za jumuiya ya Madola Tanzania upinzani ndio unaongoza kwa kuthaminiwa kuliko nchi zote. Thamani hii upinzani umeshindwa kuutambua na kuutumia kujijenga badala yake wamekimbia na kinachowakimbiza ni kanuni walizojiwekea wenyewe.

Ni Tanzania tu katika ukanda huu Kambi rasmi ya upinzani inatambulika bungeni, kuwa na baraza la mawaziri kivuli, na baadhi ya kamati nyeti zinazogusa maslahi ya Taifa kuwekewa kanuni lazma ziongozwe na upinzani kama PAC nk.

Hii ni fursa ambayo upinzani walipaswa kuitumia kujitangaza kuliko kuzurura njee ya viwanja vya bunge. Inauma sana kuona wanakosea na hawataki kujirekebisha.

Naamini si wabunge wote wa upinzani wanataka kutoka njee ya Bunge lah hasha. Prof Elton Mayo aliwahi kutoa nadharia ya Hawthorne Effect, nadharia ya kisaikolojia ambapo mtu hufanya jambo kwa kuwa tu kuna mtu anayemsimamia kufanya hivyo au anafanya tu kwa kuwa anajua anaonekana anachokifanya. Hivyo unafanya jambo si kwa kuwa unapenda kulifanya ila unafanya kwa kuwa kuna sababu zinakufanya ufanye.Nikiangalia huu utoto anaoufanya Mbatia pamoja na uelewa wake wote naona madhara ya mob psychology.

MBOWE nakuomba usitumie tena mbinu hii haiwajengi inawabomoa.

Ole Mushi.

MwanaCCM mwenye kujali maslah mapana ya nchi.

BREAKING NEWS: TAARIFA MUHIM...CCM KIMENUKA SAKATA LA UWENYEKITI GIZA NENE HAKUNA KUKABIDHIANA KIJITI VIGOGO WAGOMA CHAMA CHATAJA WAGOMBEA HAWA AKIWEMO MWANDOSYA, MEMBE....

Katika kile kinachoonekana kama kuendana kinyume na desturi za chama,vigogo kadhaa wanajipanga kugombea Uenyekiti wa CCM Taifa. Taarifa za kiintelijensia za kichama zinawataja vigogo kama Prof. Mark Mwandosya,Jaji Agustino Ramadhani na Benard Membe kuwa kama wagombea watarajiwa wa Uenyekiti.

CCM,kwa miaka mingi iliyopita,imekuwa ikiacha kando matakwa ya kikatiba katika kumpata Mwenyekiti wa CCM Taifa. Kikatiba,Mwenyekiti anapaswa kuchaguliwa na wajumbe wa Mkutano mkuu wa Taifa wa CCM. Katiba ya CCM inatoa haki na nafasi kwa mwanachama yeyote wa chama chetu kugombea na kuchaguliwa.

Hatahivyo,tayari harakati za kichama zimeshaanza kumkabidhi Uenyekiti Rais John P. Magufuli. Huo utakuwa ni mwendelezo wa desturi kumpata Mwenyekiti kwa njia ya kukabidhiwa badala ya kuchaguliwa. Makundi mbalimbali chamani yanajipanga kusimamia Katiba ya chama kwa kugombea Uenyekiti. Umefika wakati wa kuheshimu Katiba ya CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mwanza)

UKAWA Kususia Futari za Viongozi wakuu Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni Dhihaka kwa Waislam

Mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa wasiojua ni nguzo mojawapo kubwa katika Nguzo kuu za dini ya waislam. Na mwezi huu kwa waislam ni mwezi wa kufututrishana kusamehehana na kuombeana mema. Ata kama mnaugomvi mkubwa wengi huwa wanausubiri kwa ajili ya kusameheana ni mwezi wa rehema kwa waislam, Lakini kwa nchi yetu hatujafikia hatua mbaya ya kususia ata chakula au maji .

Ukawa wanachofanya ni kutaka kutengeneza Chuki baina ya watanzania ifikie hatua hatuzikani kisa siasa, Najiuliza tu km kiongozi wanayeshindana nae hakifiwa na mtu wa karibu yake Je wapo tayari kumsaidia au kumfariji??

Kama wameweza kususia Futari kisa yupo Naibu Spika?
Watanzania je tumefikia hapo

Uenyekiti wa Rais Magufuli CCM Waiva, Kamati Kuu ya Chama Hicho Kukutana Dar es Salaam Kesho

Maandalizi ya CCM kumkabidhi Rais John Magufuli uenyekiti wa chama hicho ili ashike kofia zote mbili, yataanza kesho katika kikao cha Kamati Kuu kilichopangwa kufanyika jijini Dar es Salaam.

Taarifa kuhusu kikao hicho iliyotiwa saini na msemaji wa chama hicho, Christopher ole Sendeka ilisema: “Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM itafanya  kikao cha kawaida siku ya Jumamosi jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kitafanyika chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu Jakaya Kikwete.”

Japokuwa taarifa hiyo haikueleza ajenda za kikao, habari kutoka ndani ya chama zinasema kikao hicho cha siku moja kinatarajiwa kujadili masuala mbalimbali, ukiwamo mchakato wa makabidhiano ya kiti hicho katika mkutano mkuu wa chama hicho utakaofanyika mwezi ujao.

Kipindi cha uongozi wa chama kwa Kikwete kitamalizika mwakani, lakini imekuwapo desturi kwa rais mpya kuachiwa kofia hiyo mapema, hivyo Rais Magufuli anatarajiwa kurithi mikoba ya uenyekiti mwezi ujao.

Vilevile, kikao hicho kinatarajiwa kuhitimisha hoja zinazodaiwa kuibuka katika vikao vya ndani vya chama hicho kwamba CCM inataka kuvuruga utaratibu uliodumu kwa muda mrefu wa mwenyekiti kumwachia kijiti Rais aliyeko madarakani.

Madai kuhusu mkakati huo wa ndani yalisambazwa katika mitandao ya kijamii yakimnukuu Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, lakini Ole Sendeka alisema hana sababu yoyote ya kumjibu kiongozi wa dini.

Februari 5, mwaka huu Kikwete alipokuwa anazungumza na wazee wa Manispaa ya Singida alisema sherehe za mwaka huu za maadhimisho ya miaka 39 tangu chama hicho kuanzishwa zilikuwa za mwisho kwake akiwa mwenyekiti, kauli ambayo iliashiria ataachia mapema uenyekiti.

Kwa desturi, wenyeviti wa CCM huwa wanaachia madaraka yao kabla ya muda wa uongozi wao kumalizika.

Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa alikabidhiwa chama na Alhaji Ali Hassan Mwinyi mwaka 1996 badala ya 1997 na Mkapa alimkabidhi Kikwete kiti hicho mwaka 2006 badala ya 2007.

Kulingana na kalenda ya chama hicho, Mkutano Mkuu wa CCM kumchagua mwenyekiti unapaswa kufanyika mwaka 2017, lakini utafanyika mwaka huu kuendeleza utamaduni wa kung’atuka mapema.

Habari kutoka ndani ya chama hicho zinaeleza kuwa kinachoendelea sasa mikoani na wilayani ni maandalizi ya mkutano huo mkuu yanayosimamiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Bara, Rajabu Luhwavi kwa niaba ya Sekretarieti.

“Kikao hicho cha Kamati Kuu ndicho kitakachojadili ajenda za mkutano huo sambamba na kupanga tarehe ya kufanyika kwa mkutano mkuu,” zilieleza taarifa hizo.

Dk Magufuli anatajwa kuwa uongozi wake ndani ya CCM utakuwa wa kasi ya aina yake kutokana na hatua mbalimbali za ‘utumbuaji majipu’ anazozifanya ndani ya Serikali tangu Novemba 5, alipoapishwa kuwa Rais.

Wabunge UKAWA Wasusa Futari ya Waziri Mkuu

Wabunge wa vyama vinavyounda Ukawa jana walisusia futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikiwa ni mwendelezo wa hatua za kususia shughuli zote zinazoongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson.

Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Riziki Ng’wale, alisema wamechukua hatua hiyo kutokana na Dk Tulia kuwa mgeni rasmi wa shughuli hiyo.

“Dk Tulia ndiye mgeni rasmi katika shughuli hiyo ya kufuturisha na sisi tumeamua kuwa hatutashiriki shughuli yoyote inayoongozwa naye,” alisema muda mfupi baada ya kutoka katika kikao cha wabunge wa kambi hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa.

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea alisema wamekubaliana wabunge wote wa kambi ya upinzani waliofunga watakwenda kufuturu majumbani kwao.

“Tumekubaliana hatutakwenda kufuturu bungeni na kila mbunge atakwenda kufuturu nyumbani kwake,” alisema.

Uamuzi huo ulifikiwa katika kikao cha wapinzani kilichoketi chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia.

Futari hiyo ilitangazwa na Dk Tulia tangu juzi na kusisitizwa jana baada ya kikao cha Bunge kuahirishwa mchana kuwa ingefanyika kwenye viwanja vya Bunge ambako wabunge wote walialikwa.

Kwa siku zaidi ya 10 sasa, wabunge hao wamekuwa wakisusa vikao vya Bunge vinavyoongozwa na Dk Tulia kwa sababu hawana  imani naye.

Hali hiyo imefanya bajeti kuu kwa ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/17 kuchangiwa na wabunge wa CCM tu baada ya Dk Tulia kuongoza vikao kila siku, akiingia asubuhi na jioni.

BREAKING NEWS: Taarifa ya CCM kukanusha Tuhuma Zilizotolewa na Askofu Gwajima


Bila ya shaka mmepata habari kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kuwa siku ya Jumapili ya tarehe 11/06/2016 akiwa kanisani kwake, Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima alitoa kauli za uongo, uchochezi na uchonganishi dhidi ya Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt John Pombe Magufuli, Viongozi wa CCM, Watendaji wa CCM na Serikali ya Awamu ya nne.


Mchungaji Gwajima amedai ati kwamba lipo kundi la wanaCCM wanaozunguka sehemu mbalimbali za nchi wakishawishi wanachama na wakimshawishi Mwenyekiti wa sasa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ili aendelee na Uenyekiti na kuleta hoja ya kutenganisha kofia ya Uenyekiti wa CCM na Urais wa nchi.


Napenda kuwafahamisha wana CCM, wapenzi wa CCM na wananchi kwa jumla kuwa madai hayo ya Mchungaji Gwajima ni uongo mtupu na hayana hata chembe ya ukweli. Ni mambo ya uzushi na hadithi ya kufikirika.

Watu hao hawapo kwani kama wangekuwepo habari hizo zingekwishajulikana Chamani kupitia mfumo mahiri wa usalama na maadili wa ndani ya Chama cha Mapinduzi. Chama chenyewe kingekwishawatambua watu hao na kuwachukulia hatua zipasazo za udhibiti na nidhamu.


Kama mambo hayo yangekuwepo viongozi wa Chama wa Mikoa, Wilaya na Matawi waliofuatwa wangekuwa ndiyo wa kwanza kuwafichua.

Habari za namna hiyo hazijapokelewa kutoka popote na kutoka kwa kiongozi yeyote wa Chama. Kama kweli Mchungaji Gwajima anawajua watu hao awataje hadharani na aseme walikwenda kumuona nani, wapi na lini kufikisha ujumbe wao huo hasi dhidi ya CCM.


Napenda kusisitiza kuwa habari za namna hiyo hazipo katika Chama cha Mapinduzi. Kwa hakika kinachoendelea sasa Mikoani na Wilayani ni maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum ambapo Mwenyekiti wa CCM wa sasa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete atastaafu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli atachaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya. Hakuna jambo lingine.


Nafurahi kuwafahamisha Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi kwamba kazi ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum inakwenda vizuri kabisa.

Shughuli hiyo inasimamiwa na Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu Rajabu Luhwavi kwa niaba ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM.

Kwa mujibu wa hatua iliyofikiwa sasa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa inaweza kukutana siku yoyote kupanga tarehe ya kufanyika kwa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM kwa uhakika.


Sisi katika Chama cha Mapinduzi hatushangazwi ingawaje tunasikitishwa na kauli za uongo, uchochezi na uchonganishi za Mchungaji Gwajima dhidi ya Chama cha Mapinduzi.

Ana chuki iliyopitiliza dhidi ya CCM na Mwenyekiti wake. Yeye ni mtu ambae hajawahi kuitakia mema CCM. Hata yeye mwenyewe amekiri kwenye mahubiri yake ya tarehe 11 Juni, 2016 kuwa “alitaka CCM ishindwe katika chaguzi zilizopita na ndivyo anavyotaka iwe hivyo hata sasa, ili Chama chake cha upinzani kishinde.


Mchungaji Gwajima pia hana mapenzi na wala hamtakii mema Rais Dkt John Pombe Magufuli. Kwanza, hakutaka ashinde uchaguzi kwani alimpigania kwa hali na mali mgombea wa UKAWA. Pili, hataki adumu na kufanikiwa katika kazi yake ya Urais, ndiyo maana anatoa ushauri usiokuwa na mashiko na wakihasidi dhidi ya Mheshimiwa Rais.

Anamshauri ati kwamba atoke Chama cha Mapinduzi na kuanzisha Chama chake. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais lazima awe mwanachama wa Chama fulani cha siasa. Hivyo basi, Rais John Pombe Magufuli akitoka CCM anapoteza Urais na Makamu wa Rais anakuwa Rais na CCM inaendelea kuongoza. Yeye atakuwa hana chake.

Hivyo Rais wetu atakuwa amepata au atakuwa ameharibikiwa? Huo kweli ni ushauri wa mtu anayedai kuwa na mapenzi mema na Mheshimiwa John Magufuli? La hasha! Huo ni ushauri wa adui yake na wala siyo wa mtu rafiki na mwenye huruma na mapenzi na Rais wetu.


Mchungaji Gwajima anataka kufanya “danganya toto”. Napenda kumhakikishia yeye na genge lake kuwa “CCM hatudanganyiki na Rais Magufuli ndiyo kabisa “hadanganyiki na wala hababaiki”.

Mheshimiwa John Pombe Magufuli siyo kama Bwana fulani aliyekubali kudanganywa na Gwajima na kudanganyika. Alitoka CCM akiamini kuwa angeshinda. Aliyomtabiria hayakuwa na sasa yeye na wenzake wanajuta na wengi wameanza kukimbia.

Rais wetu mpendwa na Mwenyekiti wetu mtarajiwa hawezi kudanganyika kiurahisi namna hiyo. Mheshimiwa John Pombe Magufuli ni mtu makini na mahiri.


Shabaha ya Mchungaji Gwajima ni kutaka kuleta mfarakano ndani ya Chama cha Mapinduzi kwa kumchonganisha Rais na Mwenyekiti wa CCM.

Anachotaka ni kukidhoofisha Chama cha Mapinduzi na kumdhoofisha Rais John Magufuli ili kupalilia Chama chake na mgombea wake washinde uchaguzi ujao.


Napenda kusema kwa kujiamini kuwa hilo halitatokea kamwe. Mwenyekiti Kikwete ni kada aliyelelewa na kupikika vyema na viongozi waasisi wa Chama na Taifa.

Anaelewa na kuheshimu mila na desturi nzuri ya CCM kuunganisha kofia ya Urais na Uenyekiti. Hawezi kwenda kinyume. Hakung’ang’ania Urais, hawezi kung’ang’ania Uenyekiti na wala hana mpango huo.


Hali kadhalika, hata ushauri wake wa kutaka Marais Wastaafu waondolewe kinga ili washitakiwe, shabaha yake ni ile ile ya kutaka kuleta mfarakano baina ya Rais John Pombe Magufuli na Marais wastaafu kwa lengo lile lile la kutaka kuleta mfarakano ndani ya CCM na nchini. Matumaini yake ni yale yale ya kudhoofisha CCM na Rais wake ili kunufaisha upinzani. Kamwe Rais wetu hatanasa katika mtego huo.


Kwa kweli inasikitisha kuona Kiongozi wa dini akitumia madhabahu takatifu kusema uongo na kupanga fitina na kupandikiza chuki katika jamii. Hatutegemei Kiongozi wa dini kuwa hivyo.

Hatukupenda kujibizana na Kiongozi wa dini lakini kwa vile ameacha ya dini na kuingilia ya upande wetu tumelazimika kusema. Wahenga wamesema “lisilobudi hutendwa”


Nawaomba wanaCCM na Wananchi kupuuza uongo, uzushi na ushauri hasi wa Mchungaji Josephat Gwajima.


Christopher Ole Sendeka.

Msemaji wa Chama Cha Mapinduzi.

Revealed:Govt seeks to plug multinational tax loopholes

Multinational companies are under the spotlight across the world for regularly shifting funds to tax havens or low-tax countries, ostensibly to avoid paying appropriate tax dues in the territories in which they operate.
The recent release of the Panama Papers, which exposed pervasive tax avoidance among the world’s elite, highlighted these practices further.
According to analysts, these suspected tax evasion and minimisation moves by the multinationals are causing governments in resource-rich developing countries like Tanzania to miss out on significant revenues from the enormous profits made by the firms which can be spent on important areas like health, education and economic development.
In an exclusive interview with The Guardian, TRA commissioner general Alphayo Kidata said while he wasn’t formally aware of tax evasion practices by multinational firms operating in the country, the complex nature of these companies’ financial set-ups made it difficult to audit their actual tax liabilities.
"We don’t have any reliable information showing large-scale tax evasion by big companies. We however appreciate that as companies grow, their tax affairs become complex, and some of them develop networks beyond borders as is the case for multinational companies,” the government's top taxman said.
“The very nature of the operations of some of these big companies, such as mining, oil and gas, telecommunications and the like, means specialized skills are required to audit them properly," he added.
"The complexities of the organizational set-up of multinationals, range of their operational coverage, complexities of their accounting methods, and interrelations with their supply sources pose a challenge for any tax administration."
The country’s biggest gold mining firm, Acacia Mining (formerly known as African Barrick Gold) was recently accused by the state-affiliated Tax Revenue Appeals Tribunal of engaging in "a sophisticated scheme of tax evasion" and ordered to pay $41.25 million in back taxes owed to TRA.
Acacia denied the allegations and said it would appeal against the tribunal’s ruling which came against the backdrop of an all-encompassing tax evasion crackdown instigated by President John Magufuli.
LARGE UNTAXED INFORMAL SECTOR
Kidata, sworn in as the new TRA boss by Magufuli in March, said the government tax agency "wants to ensure that each taxpayer, mining companies included, pay their fair share in taxes."
"We have strengthened our capacity in auditing areas which require specialized skills, including mining, oil and gas. In addition, we intend to establish a specialized taxation regime for the extractive sector," he said, citing a partnership agreement between TRA and its Norwegian counterpart agency on the matter.
He acknowledged that local mining companies were not paying proper taxes in the past due to legal and administrative weaknesses, saying:
"It is true that for quite a long time we did not manage to collect as much as would have been expected from mining companies.
This was partly because of the tax benefits we had accorded the industry and partly due to having a limited capacity to enforce tax collection from the sector."
"The TRA has established an International Taxation Unit which has staff with specialised skills for auditing sectors of mining, oil and gas, telecommunications, financial services, construction, real estate and tourism," Kidata stated.
Tanzania is also engaging extensively with other national tax administrations in Africa and elsewhere to share experiences in international taxation, and has signed various agreements for automatic exchange of information and capacity building in the area, he added.
According to Kidata: "Equality in a tax system entails embracing fairness and equity…it requires taxpayers to contribute to government coffers in line with the ability of the taxpayer.
“It is not about paying equal, more or less amounts in taxes, it is about paying your fair share.”
He said in addition to the introduction of electronic fiscal devices (EFDs), more plans are in the pipeline to formalise the country’s large, untaxed informal sector.
Although it is a requirement by law that all traders with annual turnovers exceeding 14 million/- must acquire and use EFD machines effectively in their daily transactions, there is still limited use of the devices, the TRA boss said.
"A large number of taxpayers have not installed the (EFD) machines and those who have them in place are using them sparingly," Kidata said, adding:
"The non-issuance of fiscalised receipts remains a problem. Traders are reluctant to issue receipts, while buyers buy without demanding receipts from sellers. This undermines the gains that are expected from these important compliance tools."

Breaking News, all Members of Tanzanzia Parliament Refuse about this Issue

Older Posts
© Copyright KAZI YANGU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top