Loading...

BREAKING NEWS: ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CUF PROF. IBRAHIM LIPUMBA NDANI YA UWENYEKITI TENA AOMBA RADHI KWA KUJIVUA GAMBA LA M/KITI

Aliyekuwa mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba amemuandikia barua Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamadi ya kuomba kutengua barua yake ya mwaka jana ya kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Prof Lipumba amesema kwamba ameandika barua hiyo na anasubiri uamuzi wa chama hicho kama utaamua kumrejesha au la.
Hatua ya Lipumba inatokana na Chama cha CUF kutangaza uchaguzi wa kuziba nafasi zilizo wazi katika chama hicho ikiwemo nafasi ya uenyekiti iliyokuwa iliyokuwa wazi baada ya kujiuzulu kwa lipumba.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KAZI YANGU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top