Loading...

ZITTO KABWE "Rais Magufuli Atakuwa Rais Kwa Muhula Mmoja Tu"

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema udikteta anouonyesha Rais John Magufuli ndio kitanzi cha kumfanya awe Rais wa muhula mmoja, kwa kuwa wananchi hawatakuwa tayari kumvumilia uchaguzi ujao....Maneno hayo ameyasema wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za chama hicho Kijitonyama...

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KAZI YANGU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top