Loading...

BREAKING NEWS: HAYA NDIO MANENO MAZITO ALIYO YATOA DOCTER WA RAY C, KUHUSU UTUMIAJI WAKE WAKULUDIA MADAWA YA KULEVYA.......


Katika Jitihada za kumsaidia Ray C , Mange Kimambi Amefunguka Haya Hapa Chini:

"Confirmed news, Ray C ametolewa kwenye program ya kunywa dawa ya Methadone Mwananyamala Hospital. Alikuwa kila akipimwa mkojo anakutwa bado anatumia. Pale wanatoa dawa kwa masharti.Ray C anaweza kukaa wiki hajaenda kunywa dawa, ile dawa hakuna mgonjwa anaweza kukaa siku hata 1 hajanywa, Arosto yake ni hatareeeeee unaambiwa bora Arosto ya heroine kuliko Arosto ya methodone, so ukiona mgonjwa kapitisha hata siku moja hajafika kunywa dawa ujue tu anatumia Tena hata bila kumpima mkojo. Sasa Ray C alikuwa anakata wiki hajafika kwenye dawa . Ndo wakaona wamkatie mbali. Ambao bado mnamtetea Ray as if nyie ndo mnampenda sana nenda pale wanapopokea dawa kila siku Kama utamuona Ray C. Huyo boyfriend wake wa Sasa anaitwa Frank alikuwa rafiki wa Lord Eyes,ni muuzaji na mtumiaji, Kwahiyo hapo ni parefuuuu....

Anyways point sio kumwanika Au kumwandama huwa nawapinga mno global Kwa kuandika habari za uongo Kila siku Ila Kwa hili la kumwandama Ray C acha wamwandame wanamsaidia . Maana Ray C anafanya juu chini kuaminisha watu uongo ili aendelee kujimaliza.

hata Mimi sijui anasaidiwaje , Kama rehab keshapelekwa, Kama methadone keshakunywa sijui kilichobaki. Tusichukulie hii issue kijuu juu huyu msichana akiachwa Sasa hivi atawajoin kina Whitney Houston kiutani utani Hivi Hivi.... Embu tushauriane jinsi ya kumsaidia Maana Mimi sina idea aiseeee.... Alafu akifa tutajisikia vibaya mnoooo kuwa tulikaa pembeni tunaangalia. Sitaki kujua mama yake ana hali gani 🏽. Watoto wanajua kutesa wazazi jamani, I can't imagine mtoto wangu mmoja aje kuwa hivi jamani naweza kufa kwa kuumwa roho !

Challenge kubwa ya kuwasaidia addicts inabidi wawe tayari kubadilika. Inabidi wao wenyewe ndo waamue na sio mtu umforce. Yani Ray C inabidi aamue she wants to live"

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KAZI YANGU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top