Loading...

PICHA 3: Hiki ndio kipigo cha Yanga kwa GD Esperanca ya Angola leo May 7 2016

 
May 7 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ambao mashabiki wao tayari mtaani wanajitamba na kujiita Mabingwa watarajiwa wa Ligi Kuu, walishuka uwanja waTaifa kuwakabili wapinazani wao GD Esperanca katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika.
IMG_0028
Yanga ambao walipangwa na GD Esperanca baada ya kutolewa na Al Ahly ya Misrijumla ya goli 3-2 katika michuano ya klabu Bingwa barani Afrika, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya wpinzania wao kutokea Angola klabu ya GD Esperanca, lakini Yanga watalazimika kwenda Angola wiki mbili zijazo kucheza mchezo wa marudiano.
IMG_0064
Kipindi cha kwanza kilikuwa kigumu kwa pande zote na kwenda mapumziko bila kufungana, lakini awali Eperanca walikuwa wanacheza mpira wa taratibu na kujitahidi kumiliki mpira ili kuituliza presha ya mchezo, hali ambayo ilifanya Yanga wabadilike na kufanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 71 kupitia kwa Simon Msuva, kuingia kwaMatheo Anthony kulizaa matunda baada ya dakika ya 90 kufunga goli la pili.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KAZI YANGU | Designed By AFROPIXELS MEDIA CO. LTD
Back To Top